1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Israel yadaiwa kuishambulia Iran

01:17

This browser does not support the video element.

Sylvia Mwehozi
19 Aprili 2024

Duru zinasema Israel imefanya shambulio katika ardhi ya Iran mapema leo Ijumaa, siku kadhaa baada ya Iran kuishambulia kwa makombora na droni nchi hiyo katika hatua ya kulipiza kisasi. Hatua hiyo imezidisha wasiwasi wa kutanuka kwa mzozo katika kanda ya Mashariki ya Kati. #kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW