1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
AfyaGhana

Magonjwa ya zinaa- Hakuna haja ya kuona aibu

05:32

This browser does not support the video element.

29 Desemba 2023

Magonjwa ya zinaa ni ya kawaida. Muwasho au maumivu katika sehemu za siri huweza kuwa dalili za kwanza - hivyo ndivyo dalili za Michael zilianza. Daktari wetu Chinonso Egemba, alikutana naye kuzungumzia aibu aliyopata kuhusu ugonjwa wake wa zinaa na matibabu aliyopata.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW